Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 3,402
- 6,664
Ukweli usemwe.
Kakamatwa kiduanzi sana.
Na hii inanifanya kufikiria kuwa Lengo lake la awali mpaka kupelekea kuachana na Ubalozi lilikuwa lingine na Baadae akapata Lengo lingne na akakosa namna /mipango mizur ya kujilinda.
1. Lengo la kwanza ilikuwa ni kuonyesha Chuki yake ya waziwazi kwa CCM mtandao kwa kutokufuata tamadun yao waliojiwekea ndan ya CCM wa muda na kupishana kwa wale viongozi wakuu.
Alivyoingia Rais Samia. Polepole alikosa ulaji na ujasiri.
Kutoka kuwa katibu wa itikad na uenezi hadi kuwa Mbunge wa kuteuliwa na kisha balozi Malawi.
Bila shaka ilimvuruga sana akili.
Akavumilia kwasababu alikuwa anajua mwaka 2025. Ile tamadun itafuatwa Samia angeondoka na yeye angeweza kurudishwa nchini na kupewa dhamana kubwa (pengine aliahidiwa na Sukuma Gang)labda walishaandaa mtu wao.
Sasa baada ya kuona Samia anaendelea na yeye yuko nje ya mfumo ikabidi atoe la moyoni.
Na ajiuzulu.
Baada ya kutoa aliyonayo. Akaona hajapata mwamko/uungwaji mkono na wana CCM wenye nyadhifa. (Ambao labda walishajipanga akisanue ila wamemsaliti kwa kutokumuunga mkono)
2. Ndio akawa anaonyesha upande mmbaya wa serikali ya CCM . Utekaji. Kuwekwa mahabusu muda mrefu kwa wapinzani, nida kuunganishwa na inec, kashfa za Rostam, kuhoji kifo cha magufuli. na kuunga mkono baadhi ya wanaharakati na wanasiasa wa upinzani akiwemo Lissu.
Kuunga mkono maandamano. NRNE nk
Nadiriki kufikilia kuwa Hili halikuwa lengo la kwanza la Polepole. Na ndio maana alivyoingia kwenye Lengo hili la pili alijikuta hana mbinu thabiti ya kujilinda kwasababu hakujiandaa sana kwenye hili.
Haya ni maoni Yangu.
Mm siasa Siijui na wala siifuatilii.
Kakamatwa kiduanzi sana.
Na hii inanifanya kufikiria kuwa Lengo lake la awali mpaka kupelekea kuachana na Ubalozi lilikuwa lingine na Baadae akapata Lengo lingne na akakosa namna /mipango mizur ya kujilinda.
1. Lengo la kwanza ilikuwa ni kuonyesha Chuki yake ya waziwazi kwa CCM mtandao kwa kutokufuata tamadun yao waliojiwekea ndan ya CCM wa muda na kupishana kwa wale viongozi wakuu.
Alivyoingia Rais Samia. Polepole alikosa ulaji na ujasiri.
Kutoka kuwa katibu wa itikad na uenezi hadi kuwa Mbunge wa kuteuliwa na kisha balozi Malawi.
Bila shaka ilimvuruga sana akili.
Akavumilia kwasababu alikuwa anajua mwaka 2025. Ile tamadun itafuatwa Samia angeondoka na yeye angeweza kurudishwa nchini na kupewa dhamana kubwa (pengine aliahidiwa na Sukuma Gang)labda walishaandaa mtu wao.
Sasa baada ya kuona Samia anaendelea na yeye yuko nje ya mfumo ikabidi atoe la moyoni.
Na ajiuzulu.
Baada ya kutoa aliyonayo. Akaona hajapata mwamko/uungwaji mkono na wana CCM wenye nyadhifa. (Ambao labda walishajipanga akisanue ila wamemsaliti kwa kutokumuunga mkono)
2. Ndio akawa anaonyesha upande mmbaya wa serikali ya CCM . Utekaji. Kuwekwa mahabusu muda mrefu kwa wapinzani, nida kuunganishwa na inec, kashfa za Rostam, kuhoji kifo cha magufuli. na kuunga mkono baadhi ya wanaharakati na wanasiasa wa upinzani akiwemo Lissu.
Kuunga mkono maandamano. NRNE nk
Nadiriki kufikilia kuwa Hili halikuwa lengo la kwanza la Polepole. Na ndio maana alivyoingia kwenye Lengo hili la pili alijikuta hana mbinu thabiti ya kujilinda kwasababu hakujiandaa sana kwenye hili.
Haya ni maoni Yangu.
Mm siasa Siijui na wala siifuatilii.