bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Habari wanajamvi?
Leo nimebahatika kuona video ya Prof.Jay ya nyimbo yake mpya inayoitwa "kazi" amemshirikisha kijana wa kisinheli anaitwa Sholo Mwamba.
Mwanzoni mwa hii video kunamsururu wa magari yakionyesha kama msafara flani hivi.Nimeangalia kwa makini nikaona gari aliopanda Prof.Jay imewekwa bendera ya Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Swali langu ni je, uwepo wa bendera ile katika video hiyo ni sahihi?
Bahati mbaya siwezi hamisha video hapa lakini unaweza iangalia youtube kwa channel ya Prof.Jay..
Note
He is one of my very very favorite Artist.
Leo nimebahatika kuona video ya Prof.Jay ya nyimbo yake mpya inayoitwa "kazi" amemshirikisha kijana wa kisinheli anaitwa Sholo Mwamba.
Mwanzoni mwa hii video kunamsururu wa magari yakionyesha kama msafara flani hivi.Nimeangalia kwa makini nikaona gari aliopanda Prof.Jay imewekwa bendera ya Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Swali langu ni je, uwepo wa bendera ile katika video hiyo ni sahihi?
Bahati mbaya siwezi hamisha video hapa lakini unaweza iangalia youtube kwa channel ya Prof.Jay..
Note
He is one of my very very favorite Artist.