The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,059
Bado linafanyiwa kazi![]()
TFF wamelirusha Hilo ombi lifanyiwe marekebisho. Wameshauri wacheze dakika 240
Bado linafanyiwa kazi![]()
Toka pira biriani mpaka pira KICHURI.Simba Bora ilikuwa enzi ya Kichuya pale kweli lilikuwa pira mayonaizi sasa hivi mudi analeta ubahili haweki mzigo anaokoteza wachezaji waliochoka.