Mleta uzi unaona raha kupigwa mawe? Mbona unajifichaficha kwa kitumia fake name. Weka jina lako halisi, namba za simu,mahali unaishi, namba ya nyumba, ofisi/mahali unafanyia kazi uone kipondo utakachopata hao jamaa zako wasipopita.
Nchimbi alikuwa ni mmoja wa wale mawaziri wa ccm waliokuwa wanatuhumiwa kufoji vyeti akaenda nzumbe kupiga PhD huku bado anajita dokta!!msema kweli uliwavua nguo sema ndo hivyo kwa ccm híi "afadhari ya fisadi cheo chake au ukaribu na ccm na serikali yake" cc mfuko huu unapesa huu nao unapesa!
Daktari Nchimbi jina lake lilisikika ktk mambo ya Urais na ndio maana akakaa kimya.Sitta ni wazi kabisa capital NO.
Kinana inaingia akilini,tafakari hotuba kwenye ziara zake na hana makundi.Lakini wote hao wataweza muziki wa UKAWA???Siyo lazima Rais atoke CCM.
Huyu hana haja ya kusubiriwa mpaka November, anatakiwa apigwe mawe kuanzia sasa kwa sababu technically utabiri wake umeshafeli kabla ya huo muda. HAIWEZEKANI MGOMBEA URAIS NA MGOMBEA MWENZA WOTE WAKATOKA UPANDE MMOJA WA MUUNGANO!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.