Kuna mwenye ushahidi kwamba hakutumia rasilimali?, mbona amelalamika wakati wa kujivua uanachama CDM, huenda kulikuwa na makubaliano kati yake na viongozi waandamizi yameshindwa kutekelezwa.Masha hakutumia rasilimali ila nyalandu muda si mrefu ataukwaa tayari alishaanza kutumia rasilimali nairobi!
Mruhusu mkeo nae aje CDM cheo atapewa ili roho yako iridhike.Ujumbe wa kamati kuu waliopewa Lowassa na Sumaye sio cheo? Ugombea wa bure atakaopewa Nyalandu sio cheo? Ubunge wa viti maalumu wanaowapa ndugu zao na michepuko yao sio vyeo?
Tunajua hilo la ukabila mtalifanya tuuu, chukueni hata Mashinji iki nafsi zenu ziridhikeeMbona lowassa ameingia na kupewa cheo, sumaye kapewa cheo. Wasitake kutuzubaisha hawa.
Chadema ....wana akili saana.Na members wake ni wenye kakili na ni wasomi saana.Hii move out of chadema ya Mh.Masha ni very well calculated na nina kila sababu ya kuamini imepangwa na Rt Hon Katibu Mkuu wa Chadema Dr.Kashinji......huyu bwana ni mtu wa mipango saana na huwa 96% accurate.
Lakini hebu tusubiri,muda ndiyo utakaoamua.
Wewe unàlipa kodi gani wewe. Kama hata wewe ni mlipa kodi basi traffic polisi ni haki yao kukusanya kodi....hujui kodi zetu mnapewa kwa njia ya jina la ruzuku? Sasa kama mnakula kodi yangu kwa nn yasinihusu we mzungusha mikono na mdeki lami
jibu kwa hoja...kwan huoni john heche alichokiandika.....tatizo mnakinzana wenyewe.Ndio umeandika nn we KILAZA, , kwaiyo unamaanisha Masha nae angepewa cheo
Joshua Nassari @joshua_nassari
Mhe. Nassari ananishangaza. Sasa anamlaumu Masha, aliyekuja kwa hiari yake mwenyewe. Anamkumbatia Nyalandu, aliyemtukana eti anapenda mvwa wa wawekezaji. Lakini kuu ni hii ya madiwani wake kuhongwa, sasa anawashutumu huku akuendela kunadi wengine. Tutajuaje kama hawa nao watataka kumpongeza Rais? Sitaelewa kama Nassari atasikilizwa tena, zaidi ya wahenga waliosema sikio la kufa halisikii dawa. Mwangalie hapa:
Tunaojua sababu za Masha kutoka CDM zile kwenye barua yake tunajua ni danganya toto, tunajua sababu na tunaziheshimu.Kuthibitisha kuwa CDM imejipanga kuingia ikulu,angalia takwimu za ushindi wa madiwani na wabunge nchini kuanzia 1995 hadi sasa.Ikulu ni suala la muda,tena si mref.
8:09 PM - 14 Nov 2017
Sina mke labda nikuoe wewe mkuuMruhusu mkeo nae aje CDM cheo atapewa ili roho yako iridhike.