Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,339
- 1,493
Napenda kuishauri Serikali kwasasa kuhusu huduma katika magereza kuanzia usafi, afya za wafungwa, mavazi nadhifu, mahala pa kulala na haki ya kupata taarifa.
Mapendekezo:
1. Je, Serikali haioni kuna umuhimu sasa Magereza yaboreshwe na kujengwa kwa mtindo wa hostel za kisasa.
2. Je, Serikali kwanini isianzishe mfumo mzuri wa huduma ya chakula kwa wafungwa kula vyakula vizuri tena iwe milo hata 3 kwa kutwa.
3. Magereza yote nchini yawe na mazingira mazuri ya kupumzika kwa wafungwa wawe na uwezo wa kupunga upepo na kurefresh akili.
4. Mfungwa/ wafungwa wapate haki ya habari kuhusu nchi yao na pia kuwe na mfumo mzuri wezeshi wa kushirikishwa maendeleo yaliyopo mtaa au kijiji wanachotoka.
Karibu.
Mapendekezo:
1. Je, Serikali haioni kuna umuhimu sasa Magereza yaboreshwe na kujengwa kwa mtindo wa hostel za kisasa.
2. Je, Serikali kwanini isianzishe mfumo mzuri wa huduma ya chakula kwa wafungwa kula vyakula vizuri tena iwe milo hata 3 kwa kutwa.
3. Magereza yote nchini yawe na mazingira mazuri ya kupumzika kwa wafungwa wawe na uwezo wa kupunga upepo na kurefresh akili.
4. Mfungwa/ wafungwa wapate haki ya habari kuhusu nchi yao na pia kuwe na mfumo mzuri wezeshi wa kushirikishwa maendeleo yaliyopo mtaa au kijiji wanachotoka.
Karibu.
