Maombi ya Chuo 2016/2017

Maombi ya Chuo 2016/2017

R100

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2014
Posts
337
Reaction score
81
Samahani wanajukwaa naomba kuuliza hivi eti inafaa kwenda chuoni moja kwa moja kuomba nafasi wakupangie hapo wakati umesha apply vyuo vengine unasubiri tofauti na hicho??
 
kama diplo sawa lakini kama bachela tcu mpango mzma
 
Hakuna kitu kama hi cho navyonua TCU ndo wenye mamulaka ya kuwapangia wanafunzi vyuo kazi ni kuhaki tuu
 
Samahani wanajukwaa naomba kuuliza hivi eti inafaa kwenda chuoni moja kwa moja kuomba nafasi wakupangie hapo wakati umesha apply vyuo vengine unasubiri tofauti na hicho??
Kwa upande wa NATCE wanautaratibu wa kutoa form online ambayo utapaswa kulipa 20, 000. Form hizo zitatoka mwezi wa kumi
 
Samahani wanajukwaa naomba kuuliza hivi eti inafaa kwenda chuoni moja kwa moja kuomba nafasi wakupangie hapo wakati umesha apply vyuo vengine unasubiri tofauti na hicho??
Sasa maana ya transfer au uwepo wa TCU ni nini
 
Samahani wanajukwaa naomba kuuliza hivi eti inafaa kwenda chuoni moja kwa moja kuomba nafasi wakupangie hapo wakati umesha apply vyuo vengine unasubiri tofauti na hicho??
mbona kama inawezekan kuna rafiki yangu aliapply MUM direct na wakampa majibu wakati uo uo ikawa kazi ya chuo cha Mum kufuatilia Tcu na iv sasa jamaa jina lake lipo miongon mwa wataosoma Mum kesho kutwa
ili nadhan linawezekana ila chuo lazima lipeleke jina lako Tcu
 
Jaman msahad nimaliz form 2015 Nina C-2 na D-5 na F ya mathematics VP nawez nka xoma kozi gan hap yeny fursa ya ajila
 
Back
Top Bottom