Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kesi ya Mh Lema imepangwa kesho tarehe 8 ni maombi mapya ya rufaa ya dhamana chini ya Jaji Dr Opio
Lema alishasema muachane na case yake lakini hamsikii kwanini?Kesi ya Mh Lema imepangwa kesho tarehe 8 ni maombi mapya ya rufaa ya dhamana chini ya Jaji Dr Opio
Hivi nchi hii bado ina majaji? ujaji uliondoka na Lugakingira na Mwalusanya,wengine hawa ni wasakatonge,
Kwani Gambo ndio JajiLema anapoonewa Gambo anafurahi sana, lakini hajui chuki za wananchi wa Arusha zidi yake
Yanayo endelea yanajulikanaKwani Gambo ndio Jaji
Teh..tehTumuombee Mange Kimambi dhidi ya watu wenye macho ya husuda na Asili ya Udikteta Uchwara wasije mzuru.
AmenTunamuhombea mwenyezi mungu ambaeiki
Lema aachwe jela hadi hamu yake iishe,kuna kitu anapata huko si bure.Kesi ya Mh Lema imepangwa kesho tarehe 8 ni maombi mapya ya rufaa ya dhamana chini ya Jaji Dr Opio
Mbona keesho si februari 2017?Kesi ya Mh Lema imepangwa kesho tarehe 8 ni maombi mapya ya rufaa ya dhamana chini ya Jaji Dr Opio
Ruzuku ya Chadema italiwaje? Lazima kuwe na justification mkuu Lema kawapa justification .Pesa imetumika na mawakili wa kumtetea atake asitake washinde wasishinde kesiLema alishasema muachane na case yake lakini hamsikii kwanini?
Lema ana kesi NNE mahakamani sijui ni IPI katika hizo ya hiyo kesho mleta mada aliyeanzisha huu uzi atuambieMbona keesho si februari 2017?
Xmas atapata maono tena huyu Lema
Mbona kamanda Lema muoga hivyo wa kukaa ndani?Kesi ya Mh Lema imepangwa kesho tarehe 8 ni maombi mapya ya rufaa ya dhamana chini ya Jaji Dr Opio