Maombi juu ya EX

Maombi juu ya EX

MEK_TZ

Senior Member
Joined
Apr 21, 2021
Posts
183
Reaction score
375
Habari Wana JF.

Wengi wetu tumekuwa na maombi tofauti sana juu ya tuliowahi kuwa nao katika mahusiano na hatimae kuachana (ex). Nikianza kwa upande wangu nilikuwa na huyo mrembo wangu tulipendana sana kiasi hakuna ambaye angeweza kuamini Kama Kuna ambaye angeweza muacha mwenzie. Kweli hakuna marefu yasio na mwisho.

Ni maombi gani kila siku huwa unamuomba mwenyezi Mungu ayatimize kwa ex wako toka mmeachana na mpaka leo bado hujajibiwa?
 
Unamuombea akutane na mahusiano ya hovyo ili akurudie?
Ukute yeye huko alipo anamuomba Mungu kila anayemuombea mabaya yakageuke kuwa baraka...usije shangaa mwakani unasikia anaolewa

We move on tu ndio la msingi kwa upande wako,achana na visasi na kinyongo nae
 
Hicho unachoomba kibaya hakiwezi kumpata kamwe. Utateseka tu mwenyewe. Yaani mademu ambao nimewahi kupita noa huko nyuma,hakuna ambaye nimeachana nae vibaya. Tunaachana tu soft kama hatujaachana hivi. Ila nasitisha tu mawasiriano mdogo mdogo mpaka yeye mwenyewe anajua,anajiachia. Siku tukikutana tunasalimiana na kucheka kabisa. Kwa hiyo zaidi ya hivyo huwa nawaombea sana wafanikiwe
 
Dua la kuku halimpati mwewe. Ukikuwa utaacha huo ujinga wa kuombea mtu mabaya kisa mlitofautiana kwenye mahusiano.
Huu ni ukweli kwa kuandika au kusema lakini utendaji ni mgumu kwa baadhi ya mahusiano.

Kuna relationships zinaisha vibaya sana hadi you wish bad things zimtembelee, just so you will have the last laugh.
 
Huu ni ukweli kwa kuandika au kusema lakini utendaji ni mgumu kwa baadhi ya mahusiano.

Kuna relationships zinaisha vibaya sana hadi you wish bad things zimtembelee, just so you will have the last laugh.
In the end regardless of what happened sio sawa kumuombea mwenzako mabaya wakati once you were lovers.

Hata kama huwezi kumuombea mazuri ishia tu hapo hapo. Usiombe chochote kizuri wala kibaya acha atalipwa kwa kadiri ya matendo yake.

Karma is real.
 
Siku ya leo katika pitpita zangu nkasikia binti ananita ile kugeuka nkakutana na binti ambaye nishawah kuachana naye miaka miwili ikiyo pita chanzo cha kuachana binti alikuwa mwanafunzi form 4 walipanga njama na wazazi wake binti ajfanye ana mimba yangu wakafungua kesi ya kumpa mimba mwanafunzi inshu nkaimalza kwa hela ikawa mwisho wa mahusiano yangu na huyo binti baada ya miaka miwili nmekutana naye leo kashazalshwa mtoto mmoja na jamaa kaniomba namba yangu nmempa anambia pia nmsameh kwa yote yaliyo pita sasa namsiklzia anitafute nione anataka nn kutoka kwangu
 
In the end regardless of what happened sio sawa kumuombea mwenzako mabaya wakati once you were lovers.

Hata kama huwezi kumuombea mazuri ishia tu hapo hapo. Usiombe chochote kizuri wala kibaya acha atalipwa kwa kadiri ya matendo yake.

Karma is real.
Hiki ni kitu sahihi kufanya. Sahihi kabisa hatupaswi kuwaombea watu mabaya. Lakini kuna mahali unasema "najua hiki sio sahihi lakini acha iwe".

Hata hivo kuhusu Ex wangu, I hope karma finds its way to him.
( 🅹🆄🆂🆃 🅰 🅹🅾🅺🅴 )
 
Hiki ni kitu sahihi kufanya. Sahihi kabisa hatupaswi kuwaombea watu mabaya. Lakini kuna mahali unasema "najua hiki sio sahihi lakini acha iwe".

Hata hivo kuhusu Ex wangu, I hope karma finds its way to him.
( 🅹🆄🆂🆃 🅹🅺🅴 )
Nilishangaa na hicho kitisho cha Karma mpaka niliposoma hiyo disclaimer hapo chini. I would be surprised a lot. You wishing a karma on anyone. Nooo waaaay. Not the jovial Paula Paul I know
 
Nilishangaa na hicho kitisho cha Karma mpaka niliposoma hiyo disclaimer hapo chini. I would be surprised a lot. You wishing a karma on anyone. Nooo waaaay. Not the jovial Paula Paul I know
No way? Oh C'mon there has to be!
I hope karma catches up to the guy pretty quick.

Btw, this gave me a good laugh, Thank you SHIMBA YA BUYENZE. I would never wish anything negative to anyone, let alone enjoying the misfortune of other people.
 
Back
Top Bottom