nanchi
Member
- Jan 29, 2012
- 66
- 7
Ni zaidi ya miezi mitano inakatika sasa, nipo na dada mmoja kimahusiano.sio siri ananichosha kwenye mambo yetu yale ni noma.nikiwa nae tunaenda tano kwa muda mchache yani nakua hoi hadi kufika mwisho wa mchezo,imefikia sasa nikilala nae usiku mmoja naenda adi nahisi natoa hewa.nikikataa ni ugomvi mpaka anafikia kulia na kudai namnyanyasa kimapenzi.
ile mwanzo nilifikiri kwa sababu tunaanza ndio maana ila sasa inakua 2 much,sifurahii kukaa nae zaidi ya masaa 2,natafuta hata sababu ya kikao na washkaji ili hali tu nimkimbie nae arudi hm kwao,
ila nampenda kwani nae pia anamapenz ya kweli kwa kumuangalia nyendo zake,na vl vl ni miongoni mwa mipango yangu ya baadae,yani nategemea kuishi nae.
Najiuliza tukifunga ndoa itakuaje?hebu nisaidieni mbinu washkaji,wakinadada ili nisimpoteze huyu kimwana.
ile mwanzo nilifikiri kwa sababu tunaanza ndio maana ila sasa inakua 2 much,sifurahii kukaa nae zaidi ya masaa 2,natafuta hata sababu ya kikao na washkaji ili hali tu nimkimbie nae arudi hm kwao,
ila nampenda kwani nae pia anamapenz ya kweli kwa kumuangalia nyendo zake,na vl vl ni miongoni mwa mipango yangu ya baadae,yani nategemea kuishi nae.
Najiuliza tukifunga ndoa itakuaje?hebu nisaidieni mbinu washkaji,wakinadada ili nisimpoteze huyu kimwana.