sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mkuu majukumu ni kumhudumia mke wa ndoa. Wazazi na watootoWanaume wa siku hizi wanakimbia sana majukumu yao
Mkuu majukumu ni kumhudumia mke wa ndoa. Wazazi na watootoWanaume wa siku hizi wanakimbia sana majukumu yao
Kwanza mpotezee kidgo kuna mda tunatumia na njia ya kuringa kidogo kujua upepo unavuma wapNaona ananipima tu, kwenye mahusiano sijakuwepo kwa muda kidogo.Nikaamua kuzama kwake.Lemme find out my way.
Kwahiyo hata heshima ya mwanamke siyo kwa mpenzi bali ni kwa mume wa ndoa tu si ndiyo??Mkuu majukumu ni kumhudumia mke wa ndoa. Wazazi na watooto
Nakubaliana na wewe, nilivyomsoma hana uhitaji wa vitu sana kwa kuwa bado yupo homePoole sana
Jitahidi kumpa mda bado ni mdogo haoni umuhimu wa wewe kumpa kitu lakini mda utafika atahitaji na atapenda sana umpe zawadi.
Hii fact mkuu.Imekaa poa.Kwanza mpotezee kidgo kuna mda tunatumia na njia ya kuringa kidogo kujua upepo unavuma wap
Jarbu kuzizuia hormone hzo mzgo upo tu we andaa mazngra utaula sana
Afu tongoza tongoza na madem weng kdgo unaweza okota wa kufanana nae ambae nae alikuwa akisubr kipanga aje kumnyakua
Ngoja tukuulize kwanza, aina ya zawadi unayotaka kumpatia. Itaje kwa jina tuithamanishe.Hakuna mahali nimeuliza nifanye nini?Papuchi italiwa tu. Najaribu kushare hii story pengine wazee wa kitengo mna maelezo kuhusu mwanamke kukataa zawadi...
Usiwe unauliza mkuu we peleka tuDuh!Sijawahi kumnunulia zawadi akatae,but kila nikimwambia "Kuna kitu nataka kukununulia!" anakataa, anasema "Acha tu, siku nyingine."
Ila kesho nakavunja aisee...God bless COMPTON BLVDlabda kabikra au sio kazoefu sana
Ngoja tukuulize kwanza, aina ya zawadi unayotaka kumpatia. Itaje kwa jina tuithamanishe.
Isije ikawa ni makorokocho yasiyo thamani ambayo wewe unayaita zawadi!
Kukataa penzi, hongo na hizo zawadi kwa mwanamke ni degree ya kujipandisha hadhi, huoni ilivyokuuma hadi umeingia Jf kutafuta muarobaini?
Mwanamke 'wa maana' ndiyo anatakiwa hivyo kuwa.
Zawadi aliyokupa wewe ya kuitikia salamu zako, kufika kwako, tabasamu lake na kuruhusu kum touch touch ni zawadi kubwa sana na amekwisha kuonesha nia ya malengo mema na wewe na wala si kuchezeana.
Mfuatilie polepole wala usiwe na pupa naye akakuona 'kahuni' kisha akapeperuka.
Embu ingiza gia ya kuoa tuone, au na wewe hauna mpango?
Haya, ngoja tuoneUsiwe unauliza mkuu we peleka tu
Poa, nimekusoma kiongoziUsiwe unauliza mkuu we peleka tu