Manzi anakataa zawadi ninazompa

Manzi anakataa zawadi ninazompa

COMPTON BLVD

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2018
Posts
681
Reaction score
617
Huyu mtoto nimekutana naye wiki iliyopita nikiwa njiani kurudi ghetto,niliomba namba akanipa.Ni binti mwenye umri wa miaka 20, amehitimu kidato cha 6 bado hajaenda chuo.

Baada ya hapo, jioni nilianza kumpigia tukaongea sana.Siku mbili baadaye nikamwambia aje ghetto akafika, baada ya mazungumzo kidogo nikaanza kumlainisha ili anipe tunda akachomoa lakini tayari nilikuwa nimemueleza kuwa nimemzimikia.

Siku zilizofuata mawasiliano yakawa mazuri zaidi hadi sasa,nisipomtafuta ananipiga.Juzi tena nikamwambia afike ghetto akakubali.Baada ya kufika tukaongea kidogo then nikaanza kumchezea,akawa anabisha kiaina mara analainika.

Nilijaribu kumvua nguo akawa anasema nisifanye hivyo.Nikamwambia "Uwe huru tu, jiachie." Tulikula romance nikamchezeaaa wapi,anabisha kumvua nguo, anasema "Subiri siku nyingine." Basi nikaamua kupotezea.

Cha kushangaza nikitaka kumnunulia chochote anasema "Acha tu,usijali siku nyingine." Nampenda na anajua,maana yuko fasta kunielewa napoongea,ila tunda amechomoa kunipa.Lakini kwa vitendo anavyofanya anaonyesha wazi ananipenda.
 
Hakuna mahali nimeuliza nifanye nini?Papuchi italiwa tu. Najaribu kushare hii story pengine wazee wa kitengo mna maelezo kuhusu mwanamke kukataa zawadi...
Mpaka hilo linakushinda unakuja kuuliza sjui tunakwama wapi
 
Wengine wanatafuta wanaokataa zawadi. Wewe unalazimisha kabisaa kumpa zawadi.

Dah
 
Weka namba zake tumuulize tatizo ni nini hadi akufanyie hivo.
 
Labda
Wengine wanatafuta wanaokataa zawadi. Wewe unalazimisha kabisaa kumpa zawadi.

Dah
Nafikiri ana wasi wasi nitamchuliaje kwa kuwa uhusiano wetu ni wa wiki moja tu.Labda baadaye atabadilika mkuu.

Ila sipendi hii hali, nataka mwanamke namnunulia kitu anapokea kwa furaha.
 
Maybe ni muoga anaogopa kuhojiwa ametoa wap nyumban
Maybe amekupenda hatak uingie gharama
Maybe bado ni mgeni kweny hii sekta hanakuletea pigo za nataka sitaki
Maybe hajaipenda
Hakuna mahali nimeuliza nifanye nini?Papuchi italiwa tu. Najaribu kushare hii story pengine wazee wa kitengo mna maelezo kuhusu mwanamke kukataa zawadi...
 
Duh!
Maybe ni muoga anaogopa kuhojiwa ametoa wap nyumban
Maybe amekupenda hatak uingie gharama
Maybe bado ni mgeni kweny hii sekta hanakuletea pigo za nataka sitaki
Maybe hajaipenda
Sijawahi kumnunulia zawadi akatae,but kila nikimwambia "Kuna kitu nataka kukununulia!" anakataa, anasema "Acha tu, siku nyingine."
 
Baharia una haraka sana relax hivi vitu hatutumii nguvu acha nature ifate mkondo wake

Au na ww ulikuwa huna demu sasa umepta wenge limekuwa kubwa
 
Hii ni taarifa umetuletea au unataka ushauri?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom