Manyara: Rais Magufuli azindua Ukuta wa Mirerani uliojengwa na JKT, ampa milioni 100 mgunduzi wa Tanzanite

Binafsi nampongeza mheshimiwa kwa kujenga ukuta huu, kunasiku tungesikia Tanzanite niya kenya, safi sana hata mlima kilimanjaro nao tuuzungushie ukuta ,si hivyo tu na rasilimali zote tunazozijua nazo zizungushiwe ukuta
 
Kwenye madini Mh. Rais niko na wewe, hata uninyime uhuru na demokrasia kiaina yake bado nitakusapoti kwa kuthibiti wapigaji wa madini. Tanzanite tumepigwa sana na makanjanja wazawa wakishirikiana na wezi toka nje...Hata hao wenye Tanzanite one ya sasa ni makanjanja tu....wakishirikiana na viongozi walioko serikalini.
 
Acha kua msukule wa system wewe...kule panaitwa MERERANI hao waandishi uchwara wa TBc wasikufanye uwe mtumwa wa fikra...
Slavish Mentality inaicost sana nchii ya Tanganyika
Unabishana na mtu anayeshinda huku kila siku ngoja utaumbuka mda si mrefu
 
Mimi nikiwa mkandarasi siungi mkono suala la Suma na TBA na TEMESA kupewa kandarasi zote za serikali. Hili suala linatuumiza sana wakandarasi wazalendo. Ila kwa suala la Mererani naunga mkono jitihada za mheshimiwa Rais moja kwa moja. Watu walikosa uzalendo ikafikia wakati Tanzanite inauzwa zaidi India na Kenya kuliko Tanzania. Niliwahi kwenda Israel nikakuta Tanzanite inauzwa sana. Kwa hili namuunga mkono Mkuu, amefanya la maana sana. Tujifunze uzalendo kidogo ndugu zangu.
Tatizo la wakandarasi wa ndani janjajanja nyingi
 
Wasikie ili iwe nini hasa mantiki yake?

Je wakisikia na wakiwa hawajasikia nini athari chanya ama athari hasi yake
Ni sawa na kuliza kwa nini kuna media duniani?

Ukinijibu umhimu wa media na platform mbalimbali za media5 duniani na mi ntakujibu umhimu chanya wa watanzania na ulimwengu wote kusikia
 
Ni sawa na kuliza kwa nini kuna media duniani?

Ukinijibu umhimu wa media na platform mbalimbali za media5 duniani na mi ntakujibu umhimu chanya wa watanzania na ulimwengu wote kusikia
Hilo swali ndio kusema limekushinda kulijibu au hujalisikia vizuri?!

Narudia tena nitajie hasara au faida taifa litapata asipoongea kwenye kamera (mubashara)?
 
Hilo swali ndio kusema limekushinda kulijibu au hujalisikia vizuri?!

Narudia tena nitajie hasara au faida taifa litapata asipoongea kwenye kamera (mubashara)?
Nmeshakujibu au hujui kunamna nyingi ya kujibu maswali hiyo inatitwa swali kwa swali
 
Nmeshakujibu au hujui kunamna nyingi ya kujibu maswali hiyo inatitwa swali kwa swali
Unatetea kitu usichoweza kukitetea

Kwanini aonekane mushara wakati wa kuzindua ukuta?

Taifa litapata faida gani au hasara gani asipoonekana mubashara?
 
Taja faida hapa au hasara zake kama wewe hujamuona kwenye camera
Moja ya faida iloyopatikana ni ujumbe kufika kwa watanzania na wadau wa sekta ya madini.

Na katika hotuba yake kazungumza mambo mengi sana kuhusu mabadiriko ya sera na ya soko la madini kwa ujumla ila kwakuwa wewe ni bawacha utaona anatafuta umaarufu kama umaarufu tu kashaupata kwa kwakua Rais wa tz na historia haitafutija

Sio kwa kwakuwa wewe ni bawacha ndo upinge kila kitu
 
Back
Top Bottom