Manyara: Madaktari watishia kugoma

Manyara: Madaktari watishia kugoma

iringa

Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
66
Reaction score
33
Madkatari wa Hospitali ya wilaya ya Manyara wanadai fedha zaidi ya milioni 70 ikiwa ni malimbikizo ya fedha ya posho ya dharura. Watishia kugoma wasipolipwa.
Source: ITV habari
 
wanafiki,kwa nini wasigomee uchache wao unaosababisha vifo kwa wateja wao.
 
Wagome tu kwani lazima tujulishwe wanafiki wakubwa hawa kina nataka sitaki.
 
It's
Madkatari wa Hospitali ya wilaya ya Manyara wanadai fedha zaidi ya milioni 70 ikiwa ni malimbikizo ya fedha ya posho ya dharura. Watishia kugoma wasipolipwa.
Source: ITV habari
Hospital ya Wilaya ya Manyara..?
 
Mimi naitisha maandamano ya madaktari Tanzania nzima wakini ulimboka poa tuu :target:
 
wanafiki,kwa nini wasigomee uchache wao unaosababisha vifo kwa wateja wao.

Wakati wanaajiriwa, waliingia mkataba unaoonyesha wanatakiwa kufanya kazi masaa mangapi na endapo kutakuwa na kazi za ziada sheria zimeainisha walipwe kiasi gani tena kwa kazi zipi.Lakini suala la uchache ni kazi ya Afisa utumishi kujua kuwa mahitaji ya wateja na wahudumu inaendana? na serikali ndio mwajiri lakini sio wao.
 
kama hutaki kazi ...acha...hatutaki migomo ya isiyo na faida..watu wafe kisa upuuzi wenu...pumba vuzenu, tukija hosptal rushwa tu....madawa mnaiba....halafu mnataka kugoma...its too late mngeanza mapema
 
Back
Top Bottom