Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,741
- 1,723
Habari za majukumu wanajf? Mnaoumwa poleni sana na Mungu awaponye na azuie nguvu za ibilisi shetani.
Mimi nimehitimu O level mwaka 2009 na A level 2012. Huwa tukihitimu O level na matokeo yakitoka tunapata result slip ambayo tunaenda nayo shuleni A level school kama kitambulisho lakini pia tukihitimu A level matokeo yakitoka tunapata result slip ambayo tunaenda nayo chuoni.
Swali ni, je hizi result slips zinatumika wapi baada ya certificates kutolewa na MOEVT au ndio hazitumiki tena maana zina duration validity? Naombeni jibu na mjadala nao pia unakaribishwa.
Asanteni.
Mimi nimehitimu O level mwaka 2009 na A level 2012. Huwa tukihitimu O level na matokeo yakitoka tunapata result slip ambayo tunaenda nayo shuleni A level school kama kitambulisho lakini pia tukihitimu A level matokeo yakitoka tunapata result slip ambayo tunaenda nayo chuoni.
Swali ni, je hizi result slips zinatumika wapi baada ya certificates kutolewa na MOEVT au ndio hazitumiki tena maana zina duration validity? Naombeni jibu na mjadala nao pia unakaribishwa.
Asanteni.