Huwa hakuna kiwango maalum Cha mtaji.
Kila mtu ananunue kwa kiwango chake Cha mtaji alichonacho.
Hao CRDB watapanga bei ya kila hisa moja labda kwa mfano watakwambia kila hisa moja ni sh. 200,Sasa wewe ndio utaamua ununue hisa ngapi kwa idadi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.