Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,041
- 5,916
Ni rushwa na Manji ni miongoni mwa kingmakers wa viongozi Tanzania. Nchi masikini watafuta Uongozi wanatununua tu na hili LITAISHIA HEWANI bila vyombo vya dola kufanya lolote.
Vv
Vv
Team Membe
Nimekugongea 'like' moja lakini nafanya utaratibu nimuombe moderator abadilishe feature nikugongee 10,000,000!CCM is very cheap. wanaletewa hela na katoto ka kihindi kuwachagulia rais wa jamhuri ya muungano ? what a shame. Manji ndio anateua na kumweka madarakani rais. Si bora hata angekwenda mwenyewe, anatuma mtoto ??? yaani kaona ni jambo dogo sana kama kumtuma mtoto soda au maji kwenye kioski.
Kama Membe angechaguliwa si angekua anatumwa sigara na Manji kila mara akienda nje ya nchi.
BURE KABISA HAWA CCM. UNAWEZA UKAFIKIRI UNAONGEA NA MTU MSOMI KUUUMBE ANATUMWA SIGARA NA MANJI. MANJI SI MTOTO WA JUZI TU. LEO MIJITU INA MIAKA SIXTY PLUS INAMPA SHIKAMOO KWASABABU YA ULOFA WA FIKRA