Yule dereva aliyebeba zile hela za quality group ambazo mhasibu wa hiyo kampuni amekamatwa nazo ambazo zilikuwa milioni 700, yule dereva anasema alikuwa na manji pamoja na huyo mhasibu! Sasa ningependa nijue hivi manji ni mshirika wa nani katika wale watangaza nia?