Manispaa zetu zimeshindwa kazi?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,916
Kila unapopita kwenye barabara za mitaa ya Dar ni kero ya magari yaliyopaki Sehemu ambazo kimsingi ni eneo la barabara .Sehemu zilizoathirika zaidi ni mabibo NIT Rd kariakoo ilala Tabata buguruni Temeke na kwingineko
Manispaa hazina ubavu wa kuliondoa hili au ni udhaifu wa Mkuu wa mkoa na watendaji wale?
Tujadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…