Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,605
- 696,697
Kila unapopita kwenye barabara za mitaa ya Dar ni kero ya magari yaliyopaki Sehemu ambazo kimsingi ni eneo la barabara .Sehemu zilizoathirika zaidi ni mabibo NIT Rd kariakoo ilala Tabata buguruni Temeke na kwingineko
Manispaa hazina ubavu wa kuliondoa hili au ni udhaifu wa Mkuu wa mkoa na watendaji wale?
Tujadili
Manispaa hazina ubavu wa kuliondoa hili au ni udhaifu wa Mkuu wa mkoa na watendaji wale?
Tujadili