Manifestation/Udhihirisho

Manifestation/Udhihirisho

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
4,780
Reaction score
8,160
Ili kudhihirisha kitu ni vyema ukajiangalia kwanza Namna ulivyosimama ndani mwako ili uweze kudhihirisha jambo lako haraka.

Udhihirishi chanya unahitaji nguvu ya Upendo,Unyenyekevu , uvumilivu na nidhamu.

Udhihirisho unahitaji malengo imara ili uweze kukiumba kitu unachokitaka.

Angalia maneno unayoyatamka ,Angalia jinsi unavyowaza na kufikiri ,Angalia jinsi unavyotenda .
Yote hayo unayafanya iwe kwa kusema maneno,kufikiri na kutenda hujiumba na kutokea kwako au kutokea kwa mtu uliyemlenga na mwisho wa siku kama ulipanda mbegu njema au mbaya itamea katika maumbile ya mwili kwa kutokea kama jambo au kitu.

Udhihirisho unahitaji umakini sana,unakuta mtu amejinenea kuwa anataka labda shilingi 50ml ,ndio ni jambo jema ,lakini aliponena hayo akasahau na pengine akaendelea kunena kwa kujua au kutokujua maneno hasi.
Unakuta mtu anajinenea maisha magumu ,anajinenea kuumwa Magonjwa ,nk nk wakati Kule nyuma aliwahi kunena mambo chanya ya kupata pesa kadhaa.
Hakika mtu yule udhihirisho wake utakuwa ni kazi Bure.

Angalia sana kile unachonena ,unachowaza,unachofikiri na kutenda kwani NDICHO unachopanda..

Kama ni Ngano umeipanda mwenyewe na utaivuna tu,na kama ni Magugu umeipanda mwenyewe na utaivuna tu
 
NJIA muhimu na rahisi ya KUFUNGUA Malango yako ya Nishati katika mwili ni kwa kutumia MEDITATION.

meditation inaleta utulivu wa kifkra
Meditation inatibu Magonjwa karibu yote.

Meditation inafungua ufahamu wako ,yaani wewe unakuwa kama GOOGLE SEARCH Engine.

Baada ya Malango yako/chakras kufunguka ,mwili wako unaanza kuwaka Nuru

Meditation inakupeleka kwenye Nuru kuu.

Kuna faida nyingi za kufanya mazoezi haya.
 
Ili kudhihirisha kitu ni vyema ukajiangalia kwanza Namna ulivyosimama ndani mwako ili uweze kudhihirisha jambo lako haraka.

Udhihirishi chanya unahitaji nguvu ya Upendo,Unyenyekevu , uvumilivu na nidhamu.

Udhihirisho unahitaji malengo imara ili uweze kukiumba kitu unachokitaka.

Angalia maneno unayoyatamka ,Angalia jinsi unavyowaza na kufikiri ,Angalia jinsi unavyotenda .
Yote hayo unayafanya iwe kwa kusema maneno,kufikiri na kutenda hujiumba na kutokea kwako au kutokea kwa mtu uliyemlenga na mwisho wa siku kama ulipanda mbegu njema au mbaya itamea katika maumbile ya mwili kwa kutokea kama jambo au kitu.

Udhihirisho unahitaji umakini sana,unakuta mtu amejinenea kuwa anataka labda shilingi 50ml ,ndio ni jambo jema ,lakini aliponena hayo akasahau na pengine akaendelea kunena kwa kujua au kutokujua maneno hasi.
Unakuta mtu anajinenea maisha magumu ,anajinenea kuumwa Magonjwa ,nk nk wakati Kule nyuma aliwahi kunena mambo chanya ya kupata pesa kadhaa.
Hakika mtu yule udhihirisho wake utakuwa ni kazi Bure.

Angalia sana kile unachonena ,unachowaza,unachofikiri na kutenda kwani NDICHO unachopanda..

Kama ni Ngano umeipanda mwenyewe na utaivuna tu,na kama ni Magugu umeipanda mwenyewe na utaivuna tu
Naunga mkono hoja.
Kidini umasikini laana!, tuukatae umasikini kama tunavyomkataa shetani!, kemea pepo la umasikini kama unavyokemea ushetani mwingine wowote na usijinenee umasikini!, badili kauli kwa kujinenea utajiri, nimeendesha sana masomo ya kitu kinachoitwa manifestation humu.
Hivyo kwanza karibu katika bandiko hili ambalo mimi naliita bandiko kiongozi
Baada ya kujitambua na kujikubali wewe unazo powers, then jifunze kutumia powers hizo kwanza kwa kujilinda na kuboresha afya yako kwa kuzuia maradhi yoyote,
Kwasababu dunia ya sasa, hii tuliomo, pesa ndio kila kitu, then tafuta pesa!, ni kupitia kutafuta pesa ndipo utauaga umasikini, hivyo karibu mitaa hii ili ujifunze kutumia powers of manifestation.
Pia unaweza kujisomea makala zangu nyingine mbalimbali kuhusu umasikini na utajiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom