Mkuu unajua binadamu wanyama mimea nk wote tunaconnection,hivyo unapofanya jema juu ya vitu hivyo ulimwengu nao unakuzawadia kitu utakacho,ni km vile tunavyoaswa kutowatendea vibaya watu na kuogopa kwamba na sisi tutatendewa vibaya. Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia kwamba ukifanya biashara ya kuuza mkaa utaifanya kwa miaka mingi bila kukua au usikue kabisa maana biashara hiyo inahusisha kukata miti ambayo ni chanzo kimojawapo cha kutunza nature(japo sina uhakika na hili)