cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,769
- 73,505
Mwanamuke huyu atakuwa hivi na ubosi wake wa akili ya kuongoza watu kwa nguvu zote kama anawamiliki na kuwaambia usoni na kujizuia kutukana pia.. na kuvumilia.. sasa pale ataona kumbe.. mtamkoma na maneno yake machafu baada.. sinema kunogile siku hiyo.. tena atakuwa kwake hajaenda huko kusimama na kupunga upepo.. atakuwa ameshajua mumemusaliti na kumbe munamudanganya tangu..
Update:
Update: 25/04/2018
Ila Mangenita muongo aiseeee.. kajiendea kutafuta kusaidiwa kulindwa na polisi na fbi.. kwa kuwaambia anachojaribu kufanya.. huku wa hapa nchini anawasukuma.. halafu anapiga biz cards picha akiwa ndani ya ndege.. amejibana na kanafasi kadogo alipokaa.. alizoenda kuchukua mwenyewe na kudanganya wadanganyika eti wamemfata kwa ndege.. ha ha haaaaaaaaaaaa
Kwake walikuwa hawapajui ha ha haaaaaaa
Kesho atalia haswaaa
Update:
Update: 25/04/2018
Ila Mangenita muongo aiseeee.. kajiendea kutafuta kusaidiwa kulindwa na polisi na fbi.. kwa kuwaambia anachojaribu kufanya.. huku wa hapa nchini anawasukuma.. halafu anapiga biz cards picha akiwa ndani ya ndege.. amejibana na kanafasi kadogo alipokaa.. alizoenda kuchukua mwenyewe na kudanganya wadanganyika eti wamemfata kwa ndege.. ha ha haaaaaaaaaaaa
Kwake walikuwa hawapajui ha ha haaaaaaa
Kesho atalia haswaaa