eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Maisha Ya Mange Kimambi Katika Ulingo Wa Siasa
Achana na mambo ya udaku na kulumbana na wasanii diamond, zari, wema sepetu, na kadhalika pia achana na elimu yake ya juu ya biashara,
Mange kimambi ni kada mtiifu wa CCM kama ulikuwa hujui japo wenyewe wanahangaika naye kana kwamba ni Mpinzani
-Mange Kimambi amekuwa kada wa chama tawala yani Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu alipoanza kufuatilia na kujihusisha na mambo ya siasa na alifikia hatua akawa anasema hajui maisha yake yangekuaje bila CCM.
Lakini Mange Kimambi amejizolea na kujipatia umaarufu zaidi kuanzia mwaka 2016 maara baada ya serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa Mhe. Rais John Pombe Magufuli kuingia madarakani.
Umaarufu wa Mange Kimambi umetokana zaidi kitendo cha yeye kuonesha na uthubutu wa kupinga waziwazi mambo mengi yanayofanywa na Serikali iliyo chini ya chama tawala CCM.
Umaarufu wake huu umepelekea kuwa ni miongoni mwa watu wenye wafuatiliaji wengi katika mitandao ya kijamii hasa instagram kiasi cha kufikia kuwa na wafuatiliaji zaidi Milioni mbili (2M followers).
Mwana Dada huyu anaishi nchini Marekani tangu mwaka 2008 ambako ameolewa na mzungu
Achana na mambo ya udaku na kulumbana na wasanii diamond, zari, wema sepetu, na kadhalika pia achana na elimu yake ya juu ya biashara,
Mange kimambi ni kada mtiifu wa CCM kama ulikuwa hujui japo wenyewe wanahangaika naye kana kwamba ni Mpinzani
-Mange Kimambi amekuwa kada wa chama tawala yani Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu alipoanza kufuatilia na kujihusisha na mambo ya siasa na alifikia hatua akawa anasema hajui maisha yake yangekuaje bila CCM.
Lakini Mange Kimambi amejizolea na kujipatia umaarufu zaidi kuanzia mwaka 2016 maara baada ya serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa Mhe. Rais John Pombe Magufuli kuingia madarakani.
Umaarufu wa Mange Kimambi umetokana zaidi kitendo cha yeye kuonesha na uthubutu wa kupinga waziwazi mambo mengi yanayofanywa na Serikali iliyo chini ya chama tawala CCM.
Umaarufu wake huu umepelekea kuwa ni miongoni mwa watu wenye wafuatiliaji wengi katika mitandao ya kijamii hasa instagram kiasi cha kufikia kuwa na wafuatiliaji zaidi Milioni mbili (2M followers).
Mwana Dada huyu anaishi nchini Marekani tangu mwaka 2008 ambako ameolewa na mzungu