Maneno yanayokera wakati wa kutongoza

Nadhan mtoa mada bado anatumia mbinu za zamani
 
Una mwambia nakupenda anajibu...thanks au ok.
 
Mimi nikikubaliwa mapema nakereka zaidi kwani napenda mtu wa kunizungusha ili nimuonyeshe mauwezo
 
huwa nachukia napoa ambiawa
-Nina mtu wangu,
-Ngoja nikajifikilie,
-unafanya kazi gani,
 
afadhali hayo,msichana anayejiheshimu huwa haropokewi hivyo,hata kumtongoza si njiani lazima mtu amwite lunch,au mda maalum ,ila kama hujiheshimu au umekaa kaa vibaya,yaani nakuambia ''we sister twende gheto nina hamu na wewe''
 
huwa nachukia napoa ambiawa
-Nina mtu wangu,
-Ngoja nikajifikilie,
-unafanya kazi gani,

wengine wanauliza kabisa,
- wewe kibamia au mandingo!??

wenzangu na mm apa lazima watende maovu ya kudanganya
 
Salute kwakoo
 

Hahahahahahhaha safi sanaaaaaaaaa
 

Yani ukiangalia hii komenti yako na ID yako(texas tom)....inasadifu jina.
Ndo habari ya kuwasha sigara kwa bastora.
 
Kutongoza ni kama una bargain bei. Sio lazima mkafika mutual understanding.
 
kwa kweli nimesahau kutongoza hivi kupo kweli? maana siku hizi ni mwendo wa twende diner, baada ya hapo siku 2 umepiga mzigo. kwahiyo mimi hakuna neno linalonikera.

hakuna cha siku mbili mkuu, unaua soon after diner
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…