GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,194
Anaandika Bulendu katika ukurasa wake wa facebook
Kindercrazy!!!!!
"Nirudishe pesa zipi? Zimekwishatumika zote kwenye shughuli za maendeleo jimboni Sengerema na kiasi kilichobaki cha Sh.Milioni 13 nililipia kodi kwa mujibu wa sheria kama taarifa hii inavyoonesha. Kwa hiyo fedha yote imekwisha."(Willium Ngeleja:14.5.2015).
Kuna kundi la watu kuanzia bungeni mpaka mtandaoni likapambana kweli na kusema wanaosema hizi pesa za umma wana wivu na wachochezi,baadhi ya waliosema hizi ni pesa za umma wakafunguliwa kesi na kuzomewa bungeni na kuzodolewa mtandaoni!.
BAADA YA MIAKA MIWILI SASA...
"Nimerudisha fedha hizi(Milioni 40.4) ili kulinda heshima na maslahi mapana ya nchi yangu,chama changu,serikali yangu,jimbo langu la Sengerema na familia yangu"(Willium Ngeleja 12.7.2017).
Waliosimama kidete kusema hizi siyo pesa za umma sasa wanasema,hawa wametuibia,pesa hizi zirudi,haiwezekani pesa za umma ziibiwe!.
Siyo siri katika mazingira kama haya, Am kinder crazy!
Kindercrazy!!!!!
"Nirudishe pesa zipi? Zimekwishatumika zote kwenye shughuli za maendeleo jimboni Sengerema na kiasi kilichobaki cha Sh.Milioni 13 nililipia kodi kwa mujibu wa sheria kama taarifa hii inavyoonesha. Kwa hiyo fedha yote imekwisha."(Willium Ngeleja:14.5.2015).
Kuna kundi la watu kuanzia bungeni mpaka mtandaoni likapambana kweli na kusema wanaosema hizi pesa za umma wana wivu na wachochezi,baadhi ya waliosema hizi ni pesa za umma wakafunguliwa kesi na kuzomewa bungeni na kuzodolewa mtandaoni!.
BAADA YA MIAKA MIWILI SASA...
"Nimerudisha fedha hizi(Milioni 40.4) ili kulinda heshima na maslahi mapana ya nchi yangu,chama changu,serikali yangu,jimbo langu la Sengerema na familia yangu"(Willium Ngeleja 12.7.2017).
Waliosimama kidete kusema hizi siyo pesa za umma sasa wanasema,hawa wametuibia,pesa hizi zirudi,haiwezekani pesa za umma ziibiwe!.
Siyo siri katika mazingira kama haya, Am kinder crazy!