Maneno ya Mbowe kuhusu maadili na nidhamu

Maneno ya Mbowe kuhusu maadili na nidhamu

Mleta mada ana lake jambo. Ameanza na lawama na akaishia kujitambulishana kudhihirisha umbo lake la ndani.

At lest, angeweka credible link angekuwa muungwana kidogo.
 
Hata ukifanya mazuri elfu kwa maelfu bado kuna watakaosema hujafanya ,Mbowe ana busara sana wala simsifii kwa waraka huu wa leo.Historia yake inajionyesha toka bungeni,katika chama na hata mikutano anayofanya .Labda watu wengine hawajui maana ya busara ndiyo maana wanakosoa kila jambo,naomba wadau tumkubali kamanda kwa hekima na busara aliyo nayo si rahisi kwa viongozi wengi wa siku hizi na hasa watanzania kutangaza kutogombea urais wakati chama kiko kwenye peak ya mafanikio na yeye kama mwenyekit angeweza kutumia madaraka kulazimisha agombee urais lakini ametumia busara na hekima aliyopewa na Mungu akatangaza kutogombea.
 
Hata ukifanya mazuri elfu kwa maelfu bado kuna watakaosema hujafanya ,Mbowe ana busara sana wala simsifii kwa waraka huu wa leo.Historia yake inajionyesha toka bungeni,katika chama na hata mikutano anayofanya .Labda watu wengine hawajui maana ya busara ndiyo maana wanakosoa kila jambo,naomba wadau tumkubali kamanda kwa hekima na busara aliyo nayo si rahisi kwa viongozi wengi wa siku hizi na hasa watanzania kutangaza kutogombea urais wakati chama kiko kwenye peak ya mafanikio na yeye kama mwenyekit angeweza kutumia madaraka kulazimisha agombee urais lakini ametumia busara na hekima aliyopewa na Mungu akatangaza kutogombea.

Mkuu, je unadhani busara ndizo zilizomfanya Mbowe aikimbie JF?
 
Mbowe ndo model wangu kisiasa, nilianza kuvutiwa na kujiunga na Chadema mwaka 2005 wakati amekuja mayunga bukoba katika masuala ya urais..
hekima,mpangilio wa hoja, ujasiri, uzalendo alionao na kujiamini vimenifanya nimwone yeye na mh b.mkapa kama wanasiasa wenye kiwango cha juu kwa siasa za tanzania kwa upande wangu
 
SATURDAY, JUNE 05, 2010
ZE MARCO POLO ATANGAZA NIA....


Ze marco Polo


Kaka Michuzi, Habari za siku?
Mimi nashukuru Mungu niko salama na naendelea vyema na shughuli.
Naomba usaidie kuwafikishia ujumbe wapenzi wote wa blogu ya jamii, kuwa mwanablog mwenzao Dr. Imani Hamza Kondo ( kwenye dunia ya ku-blog wananifahamu kama zemarcopolo), ninatangaza nia ya kugombea ubunge wa Morogoro Kusini Mashariki kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao.


Nikiwa kama mwanablog mwenzao, nawaomba tushirikiane kuomba Mungu ili uchaguzi uende vizuri na tufanikiwe kupata matokeo yenye manufaa kwa taifa letu tunalolipenda.


Yeyote atakayehitaji taarifa zaidi basi asisite
kuwasiliana nami moja kwa moja kwa
zemarcpolo@yahoo.co.uk
Nashukuru Sana.


SATURDAY, JUNE 05, 2010 ~ COPYRIGHT: MICHUZI BLOG ~ MTUMIE RAFIKI YAKO , MAONI: 12
 
maadil yap kumbe mwanae akikosea anamfukuza,chama kiko vipande na kuja kufika 2015 chama kwisha kazi wana piga pesa hq kumbe mikoan hamna hata mia,shame on u mbowe

CDM injengwa kwa maadili,ulikanywa mara nyingi sana hukutaka kusikia.kila makanyo yana mipaka yake.ulistahili kufukuzwa.
 
Kamanda Mbowe unakiamini kile unachokiandika tengeneza maadili CDM na si kuchochea vijana kuandamana au hayo ni maadili?
 
Pamoja na kwamba Mbowe HAFAI tena kuendelea kuongoza CHADEMA, lakini ujumbe wake huu ni mzuri. Tujifunze kuangalia contents na sio udhafu wa mtu. Ujumbe huu wa Mbowe ameutoa muda muafaka, kwa sababu gazeti la rai la wiki hii limetaka kutetelesha nafasi yake kisiasa.
Hongera Mbowe, ila RUDI JAMIIFORUMS.

Yani hafai kuwa mwenyekiti lakini fikra na mawazo yake vinafaa.utamtofautishaje mtu na fikra zake?kilicho ndani ya Mbowe ndicho kinachohitajika na CDM,na ndicho kilichoijenga na kuifikisha hapo CDM.Ndiye mwenyekiti bora kabisa wa chama cha siasa tanzania kwa sasa,kabla yake alikua Nyerere.
 
Back
Top Bottom