Maneno ya Busara ya Freeman Aikaeli Mbowe!!

Maneno ya Busara ya Freeman Aikaeli Mbowe!!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,169
Reaction score
48,451
Najua watu wa Lumumba mtachangia huu Uzi bila ya kuangalia hii "clip" kwa kuwa hamna bando.

Hapa Mbowe anaelezea jinsi ilivyo ngumu kuisambaratisha CHADEMA kama ilivyokuwa rahisi Kwa NCCR - Mageuzi



G55 na CCM sikilizeni maneno kuntu ya Mbowe
 
Njaa55 muda siyo mrefu watasambaratika
wana backup ya mfumo. ila pesa walizopewa zitageuka kuwa laana kubwa kwao kwa sababu mahosipitalini watu wanakufa kwa kukosa pesa za kupata matibabu, wanakosa dawa, vijijini watu wanakunywa maji sehemu moja na mifugo, ajali kila leo kutokana na barabara mbovu, ... kila tabu!!!!!
 
Huyu ni dalali wa siasa ....Mbowe ni tapeli kubwa lao!!. Haya aliyasema akiaamini ataendelea kuwa kiongozi, na aliyasema haya kama dongo kwa Upande wa Lissu!. Mfate sasa kama atasema maneno haya!.
 
Back
Top Bottom