Maneno ya Baba

Heri waliokuwa wanakaa na baba zao wakiongea. Mimi ilikuwa nkitoka shuleni tu nafukuzwa kwenda madrasa kusoma QurAan na Fiqhi. Hadi anafariki hatujawahi kukaa kuzungumza ya kidunya. Lakini kwa hili namshukuru na kumkumbuka sana. That is what has made what I am now. Allah Amweke mahali pema peponi.
 
Yafanyie kazi ,utafanikiwa,
mi huwa natumia yale ya Marijani Rajab ya wimbo wa ''wosia wa Baba''
 
Asante kwa pole, Husn but kwa leo na kwa furaha uliyonayo kwa result unatakiwa upumzike.
Fanya ulale hii mida sio mizuri, ndiyo mida ya Popobawa kuamka na kuanza kuvinjari jukwaa hadi jukwaa, usije ukakumbana nae usiku huu hafai kabisa ukutanenae.

ndio nimeamka sasa. Halafu nafurahi kuona unayafanyia kazi maneno ya baba. Kijana mzuri, sio mkorofi, mcheshi na mstaarabu. Mungu akuongoze.
 
Hongera Judgement kwa kupata malezi ya baba na kikubwa zaidi alikupa usia, binafsi sikujaaliwa bahati hiyo
 

umenigusa sana nimesha shuhudia sakata kama hili.si ndugu hata kidogo ni lafiki tu wa kawaida.
 
Wanawake wote mwalimu wao kipofu ishi nao kwa akili sana hayo ndio maneno aliyoniambia baba ambaye bado nipo nae kwenye uso wa dunia
 

Hap kwenye red Marehemu baba sijui alikuwa anamaanisha nini Judgement.

Nadhani kwa mabinti zake wa kike alikuwa anawaambia wanangu mme sio ndugu yako.
 
siku zote mkeo ni rafiki yako wa ndani na mwenzako, katika muungano wa hiyari, na una weza kuwa na mwisho wake ikiwa yatakiukwa masharti ya mkataba huo, hapo sasa maana ya baba utaipata KUWA MKEO SI NDUGU YAKO, kwani baada ya kuundoka kwako atarudi kwa ndugu zake na wewe utabaki na ndugu zako hata kama hamuongei miaka, kwa hiyo hata siku moja mkeo hawezi kuwa ndugu yako MANENO YA BABA NI MSWKI WA MTI HAYITAJI DAWA, ILA FIRSTLADY, MTOTO NA BABA YAKE NI NDUGU WA KIBAOROJIA NA UBINI (utambulisho) na hili kwa wenye akali halina shaka hata kidogo, ila baba amekufa huku akimpenda mke wake inavyoonekana, mungu ndiye anajua baba atalipwa nini kesho akhera , kwa huruma zake na maombi yetu amwingize peponi ,amin
 
Hap kwenye red Marehemu baba sijui alikuwa anamaanisha nini Judgement.

Nadhani kwa mabinti zake wa kike alikuwa anawaambia wanangu mme sio ndugu yako.
hapa ndo napopata picha kweli nyie wanawake sio watu kabisa, hata kuitwa sio ndugu mnapendelewa mngepaswa kuitwa viumbe wa ajabu wa porini tena nyoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…