Maneno wanayodanganywa wanaume

Maneno wanayodanganywa wanaume

(3) Sijawahi kuku cheat na haitaweza kutokea kamwe

Nilishawahi kuambiwa hivi alafu kibaya mbele yake nikaangua kicheko kikubwa mpaka na yeye akacheka nikamwambie hapo ulipofika usiendelee tena kuongea inatosha
Lazma nae alicheka kmmmke😂😂😂 thats a naked lie!
 
Niliwahi kuambia "wewe ndio mwanaume ninae kupenda hakuna mwingine kwa kila kitu unaniweza unanihandle bila shida yoyote nakuita wewe ni shujaa wangu " kumbe mbu wan'gataa😂😂😂😂 hawa viumbe
Nawewe ukamuamini huyo tapeli 😂
 
(3) Sijawahi kuku cheat na haitaweza kutokea kamwe

Nilishawahi kuambiwa hivi alafu kibaya mbele yake nikaangua kicheko kikubwa mpaka na yeye akacheka nikamwambie hapo ulipofika usiendelee tena kuongea inatosha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona naona kama wew tayar umeshawaelewa,namba 4 umenipa technique Mpya,ntakuwa natafuta mahali nakunywa bia
 
Hyo namba moja ukitaka upate ukweli wake,kila siku katika story zenu chomekea vistory kuhusiana na wanawake ambao uliwah kuwa nao,atakuwa anakereka lakini lifanye liwe zoezi endelevu,akichoka kuumia baadae nae ili kukuumiza ataanza kukueleza mahusiano yake,afu ukitaka upate taarifa zaidi usijionyeshe kushtuka pale atakapoanza kukupa mastory yake,utapata kila uchafu aliowahi Fanya mpaka kugongana kwenye magari na waume za watu
 
Ndio mkuu naomba maelezo ya hayo maneno
Kukadhibisha kama kuzikataa, yaani unaweza ukawa unamuhudumia kila kitu, unamuingilia vizuri kabisa na lakini ukigombana nae tu kitu fulani, anaweza kukukwambia "Hivi katika wanaume na wewe ni mwanaume" au akakwambia "Kwanza huna msaada wowote kwangu".

Ama kuhusu tamko "Kukithirisha" maana yake kufanya kitu kwa wingi au mara nyingi mno, wanawake ni watu wa mashtaka sana na kulalama. Bila shaka kwa maelezo haya macheche umeelewa nilicho kikusudia.
 
Back
Top Bottom