Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,731
- 13,100
Umemchoka mwenyewe tu pekee yako mkuu.
Watz wengi wamemchok nikiwemo mim, lumumba fc pekee ndiyo wamebaki kushanglia ujinga(ujima)
Umemchoka mwenyewe tu pekee yako mkuu.
Zee la kunyata vipii !?TWENDE NA MEMBE 2020
Zee la kunyata vipii !?
Hana safari huyoo !TWENDE NA MEMBE 2020
Mkiwa hamna hoja mahsusi huwa mnakimbilia kwenye matusi na lugha za kuudhi.Akiwasweka ndani wewe unafaidika na nini kama wewe siyo mchawi au kigagula?
Baadala ya kuja na sera mbadala
Twende nae wapi mkuu?TWENDE NA MEMBE 2020
Twende nae wapi mkuu?
Hio 2020 atatupeleka wapi ambapo Rais Magufuli kashindwa?TWENDE NA MEMBE 2020
Hio 2020 atatupeleka wapi ambapo Rais Magufuli kashindwa?
Ndio maana nasema wewe ni CCM au una chuki zako binafsi.Kumbe ndo maana tukianzisha mada za maana mnakimbilia matusi. Wanasema "akili za kuambiwa changanya na za kwako."
Kusema aseme Sumaye, tukisema sie wasaliti, tumenunuliwa. Leo mmefikia hatua ya kumnukuu Mr Zero, kwa vile "yupo likizo" huko kwenu?
TWENDE NA MEMBE 2020yule aliyetolokea mtwara miaka fulani vile, baada ya kuharibu Arusha.
TWENDE NA MEMBE 2020
Ahaaa haaa haaa
mbona Benard mwenyewe amekana!!??
Sii heri kumazikiliza lema kuliko kumsikiliza prof? KabudiLema elimu yake ni ndogo hivyo hata uwezo wake wa kupambanua mambo ni mdogo japo ndio think tank ya Chadema
Huko alikokimbilia ndiyo genge la majizi yaliyokubuhu.kumbe wizi ndo ulikukimbiza chadema.
Laiti ungejua
Laiti ungejua