white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,278
Katika mechi ya kirafiki iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu na wapenzi wa soka duniani ,manchester imeibuka na ushindi wa 2-1,mabao ya man utd yamefungwa na LUIS NANI,na OWEN,na bao la barca likifungwa na THIAGO,japo barca walichezesha timu B,Man utd waliweka karibu full mziki,Game lilikuwa kali utadhani wanagombania kombe!HONGERA MAN UTD FANS