white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,315
- 13,281
hatimaye ferguson asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa aibu!safi sana, na eti bado anadai ktk dirisha dogo la usajiri la january hana mpango wa kusajiri.mi ni mpenzi wa man u,lakini kwa timu hii ni aibu,japo kuna majeruhi wengi lakini cio sababu kubwa.Na nilishatoa angalizo toka mwanzo huyo golikipa(fidodido)!