Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Kwa lile la mkono au?Nape inaonekana ni mtu mmoja mwenye roho mbaya sana.
Kama hujui Mwigulu ni hatari kuliko Jpm na akiwa rais aweza kuwa zaidi ya kagame. Ni mafia yule.Huyu Mwigulu ndio alikua anautaka uraisi huyu,
Tatizo vijana wa cdm ufahamu wao ni duni sana. Ndio sababu Mbowe,msigwa na Lissu wanawapeleka wanavyo penda.Serikali Yangu bhaana, eti aliyemtishia Nape hakuwa Polisi!! Kweli inakuja akilini mtu baki tu akamzuie Nape kuongea na waandishi?
Kwanini?
Kwa faida gani?
Labda, kwasababu kiongozi kasema.
Imetoa wazo kubwa la leo. Huyu ndiye angelikuwa Rais. Na kwa haya yanayotokea, hao wote walioutafuta urais had no qualificationsHuyu Mwigulu ndio alikua anautaka uraisi huyu,
Ni mtu katili, muuaji kama akina Hitler, Amin, Bokasa na makatili kama hao.Kama hujui Mwigulu ni hatari kuliko Jpm na akiwa rais aweza kuwa zaidi ya kagame. Ni mafia yule.
Kwanini wasimhoji?Tatizo vijana wa cdm ufahamu wao ni duni sana. Ndio sababu Mbowe,msigwa na Lissu wanawapeleka wanavyo penda.
Umejiuliza kama yule si polisi ni nani? Je kama ni askari wa jwt? Au ni wa Tiss? Je ulitaka Mwigulu awe msemaji wa vyombo ambavyo havipo chini yake?
Arudi tu unyilambani akajitahidi kulima viazi vitamu na alizeti. Uraisi sio ile tie yake dongeadongeaHuyu Mwigulu ndio alikua anautaka uraisi huyu,
Kali kabisaArudi tu unyilambani akajitahidi kulima viazi vitamu na alizeti. Uraisi sio ile tie yake dongeadongea