PostGE2025 Manara: Udiwani wa kuvaa majoho na masuti lazima tuache

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Katika mkutano wa waandishi na waandishi wa habari alioufanya leo Novemba 20, 2025 Mkurugenzi wa manara tv na diwani mteule wa kata ya kariakoo Hajj Sunday Manara ameeleza kuwa udiwani wa kuvaa majoho na masuti kwa sasa lazima uachwe akitilia mkazo suala la uwajibikaji kuliko kuzingatia vyeti.

Aidha, amedhihirisha wazi ya kuwa baada tu ya uapisho wake na kuanza kazi rasmi atasimamia kwa juhudi zote zoezi zima la kumaliza changamoto ya chemba za maji taka yanayozidi kuchafua hali ya hewa katika kata ya Kariakoo.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…