Nafikira tofauti juu hili...Board ya Pharmacy bado inahaki kisheria kufanya taratibu kama Pharmacy Act 2011 inavyojieleza.Vikao vya regesta ya wafamasia havifanywi kwa pressure ya Matangazo.ya kaz ama vijana kuwa mtaani.Ukiona kijana mfamasia yuko mtaani sasa ujue kuna walakini na kijana mwenyewe ni Jipu la kutumbuliwa.Tuipongeze board kwakufwata kalenda yake na miongozo kwa ufasaha.Board ya sasa ni ya mapinduzi makubwa na dira kwa wafamasia.Hongereni bodi ya famasi
Nafikira tofauti juu hili...Board ya Pharmacy bado inahaki kisheria kufanya taratibu kama Pharmacy Act 2011 inavyojieleza.Vikao vya regesta ya wafamasia havifanywi kwa pressure ya Matangazo.ya kaz ama vijana kuwa mtaani.Ukiona kijana mfamasia yuko mtaani sasa ujue kuna walakini na kijana mwenyewe ni Jipu la kutumbuliwa.Tuipongeze board kwakufwata kalenda yake na miongozo kwa ufasaha.Board ya sasa ni ya mapinduzi makubwa na dira kwa wafamasia.Hongereni bodi ya famasi
Ina maana ulimaliza intern mwaka jana na hadi sasa hujapata cheti au? Jaribu kufuatilia. Mbona mi nimelipia ''Licence to practice'' january mwaka huu na mwezi wa tatu nikapata. muda mrefu kwako ni upi?Maombi yangu kwa waziri wa afya au naibu wake, ebu mulikeni na pale kwenye board ya pharmacy kwani haipo sawa kabisa katika ufanis wa kufanya kazi, kuna wafamasia wapya wamefanya registration muda mrefu umepita lakini mpaka leo hawajapata certificates zao hivyo inawapelekea kuwa jobless huko kitaa.
Nafasi za ajira zinatoka wanashindwa kuapply kwa sababu hawana certificates. Ili nalo ni jipu halina budi kutumbuliwa mapema kabla halijakimbilia kwenye damu
Thanks in advance.