Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,914
- 10,273
Ukisoma hio article jamaa amesema Euros na aliandika before United deal haijakamilika ila hata ukibadilisha into pounds ambazo ndio hizo 59 bado wame-overpay asking price ambayo PSG waliikataa
PSG walishaviolate FFP policy tangu last season na msimu huu walishajichanganya kumnunua David Luiz kwa £ mil 50,walikuwa na option ya kumchukua kwa loan then next msimu ndio wamsajili Perez akakataa.Issue hapa ni why United wamespend hiyo hela kwa DiMaria while matatizo yao yapo kwenye Defensive Midfield na Centre Back
Then ni ngumu kusema wameoverpay wakati mchezaji hata uwanjani hajaingia even Bale watu walisema Pérez katoa hela nyingi but baada ya kuchukua La Decima hakuna anayesema wameoverpay