Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Anyway, hii habari kidogo imepoa lakini nimeona bora niilete hapa. Hoteli ya Ritz Carton iliyolipuliwa leo asubuhi kule Jarkata Indonesia ndipo ambapo Man U walikuwa wafikie na kulikita kwa siku nne, ilikuwa wafike jumapili, sasa sijui aliyejitoa muhanga alijua wameshafika au Man U hawakuwa target yake. As a result, Man U wame cancel trip hiyo ya Indonesia, kwa sasa wapo Kuala Lumpar.