man u vs liverpool,arsenal vs spurs

man u vs liverpool,arsenal vs spurs

kaka liver na man u wote maadui wangu tu,liver kwa kutubania suarez na man u kwa kutuchukulia jembe letu van p,wakitoka droo itakua poa lakin game ya arseanl naombea bunduki ziwaangukie spurs


Mkuu Aser yetu imekuwa dhaifu kutokana na huyu mzee wenger, yatupasa kubadilika maana siku hazigandi.

Nipo mako wa mechi, naona Liv kajikombowa imebaki zam yetu. Nasis Arsenal tujitahidi tushinde.

Copy- ITEGAMATWI kaka badala ya kutega masikio/itegamatwi naomba utazame machi

ya kwanza duwaa imegoma namba hata ya pila Asernal ashinde.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Aser yetu imekuwa dhaifu kutokana na huyu mzee wenger, yatupasa kubadilika maana siku hazigandi.

Nipo mako wa mechi, naona Liv kajikombowa imebaki zam yetu. Nasis Arsenal tujitahidi tushinde.

Copy- ITEGAMATWI kaka badala ya kutega masikio/itegamatwi naomba utazame machi

ya kwanza duwaa imegoma namba hata ya pila Asernal ashinde.


Pamoja sana wa kukaya!Kumbe unaki-manya kikwetu eenh??
 
thanx sana kaka b blessed

siku nyingine tembelea hapa:
livescores.com
soccerway.com
m.goal.com
Utapata kila kitu kuhusu match fixture, team standing, live match, transfer news, etc.
 
siku nyingine tembelea hapa:
livescores.com
soccerway.com
m.goal.com
Utapata kila kitu kuhusu match fixture, team standing, live match, transfer news, etc.


Mkuu sio kwamba hafahamu hii ni njia ya sisi mashabiki wa soccer kuitana na kujumuika kwenye jukwaa moja.
 
Mpira umeisha na Asernal tumeshinda hureeeeeee!!!!!!!!!!!!!
 
mkuu aser yetu imekuwa dhaifu kutokana na huyu mzee wenger, yatupasa kubadilika maana siku hazigandi.

Nipo mako wa mechi, naona liv kajikombowa imebaki zam yetu. Nasis arsenal tujitahidi tushinde.

Copy- itegamatwi kaka badala ya kutega masikio/itegamatwi naomba utazame machi

ya kwanza duwaa imegoma namba hata ya pila asernal ashinde.

yametimia,tumeruka toka 12 mpaka 04
 
Last edited by a moderator:
Wenger aondoke?

Wenger ameonyesha kuwa kocha ana maana kubwa kwenye timu,angalia Flamini alivyocheza vizuri na kuipa uhai arsenal sehemu ya kiungo iliyoanza kuzidiwa kutokana na kuumia Wilshere,akawaingiza Monreal na Sagna na akasema wote walienda kufanya kazi ambayo wametumwa kuokoa mipira ambapo kama uliangalia Spurs walianza pasi ndefu mwishoni kwa hiyo ilibidi kuwepo na wachezaji wazoefu wa kulinda ndio maana ya kocha anafanya maamuzi sahihi kwa wakati unaotakiwa amewafanya wachezaji kujiamini na kuona kuwa sisi ni bora na amefanikiwa na wao wamesema umoja katika timu ni kitu kilichowasaidia na kufika pale walipo,sasa anaingia sokoni akiwa huru kwani hawezi kuambiwa tena bei za juu kwa wachezaji atakao wahitaji kuwaongeza kuwasajili kwa kuwa wanajua hao ni ziada kwa timu aliyonayo Wenger majeruhi Arteta,Chambelin,Podolski,Diabi wote ni kikosi cha kwanza lazima aangalie na wachezaji atakao waleta



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom