Kwa kuangalia. upande wa wachezaji mmoja mmoja ManUtd wapo juu zaidi ya Liverpool kwa kuwa wana wachezaji wengi wazoefu wa Premier League kwa upande wa kocha wa Liverpool Brendan bado anaitengeneza Liverpool na wachezaji wake wengi si wazoefu wa Premier league ukiondoa wachache kama Steve Gerald,Sturridge,nk wakati ManUtd hawajabadilika ni walewale naona kwa upande huo ManUtd wanaweza kuibuka na ushindi kwa kuwa wachezaji wanacheza kitimu zaidi na hata mechi iliyopita manutd walitawala mchezo dhidi ya timu kama Chelsea,nadhani kwa upande wangu mimi Manutd leo inaweza kushinda
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums