Ingawa ni mchezo wa kirafiki mashabilki wengi wanahamu ya kusubiri matokeo ya mechi ya barca na man u itakayopigwa marekani mida ya saa saba leo usiku
kwa wapenzi wenzangu wa barca msihofu ushindi uko pale pale
kila la lakheri
Habari ambazo bado hazijaaminika tetesi tu ... eti FC Barca wanakuja na kombe uwanjani kama Man U itawafunga hapo saa 2 usiku huu basi watawazawadia kama zawadi ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.