man u is champions barclays premier league 2012/2013

man u is champions barclays premier league 2012/2013

Babchabi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
1,745
Reaction score
777
haya jama premier league ndiyo hiyo iko ukingoni kuiisha na kabla haijaisha man u ndio tayari kashatangaaza ubingwa kwa kua na point 84 dhidi ya man city 68points na michezo ikiwa imebakia 4 tu ambayo hata man city ashinde michezo yote hiyo hatomfikia man u kwa maana hiyo man u ndio bingwa wa barclays premier league .jee wadau unawapongeza man u au una lolote la kutuambia .
 
mheshimiwa chebi,hivi ukitamka "man u is champions"hauhisi meno yanataka kugongana kinywani?....man u are..........huo ndio usahihi

umeeleweka hata hivyo,man utd bado ni timu dhaifu,tatizo la midfielder limeendelea,thanks to michael carrick efforts,matatizo mapya yamejitokeA,uzalishaji wa mawinga wetu na mabeki wa pembeni umeshuka saaaaana
 
Datz 2rue...Man utd are Champions..and Not Man utd is Champions! viva RVP20...bravo MUFC20..carrick da Impressive..
 
mheshimiwa chebi,hivi ukitamka "man u is champions"hauhisi meno yanataka kugongana kinywani?....man u are..........huo ndio usahihi

umeeleweka hata hivyo,man utd bado ni timu dhaifu,tatizo la midfielder limeendelea,thanks to michael carrick efforts,matatizo mapya yamejitokeA,uzalishaji wa mawinga wetu na mabeki wa pembeni umeshuka saaaaana
ahante chizenga kwa kuniweka sawa mkuu
 
mheshimiwa chebi,hivi ukitamka "man u is champions"hauhisi meno yanataka kugongana kinywani?....man u are..........huo ndio usahihi

umeeleweka hata hivyo,man utd bado ni timu dhaifu,tatizo la midfielder limeendelea,thanks to michael carrick efforts,matatizo mapya yamejitokeA,uzalishaji wa mawinga wetu na mabeki wa pembeni umeshuka saaaaana
ahsante chizenga kwa kuniweka sawa
 
Back
Top Bottom