Man Suck It!.....

cc Eshy m.s
alisema Tyta akitaka kusuck hata kama wewe unaendesha ibada ataacha yako akampe nyonyo hubby wake maana nayo ni ibada aje atoe maelezo hapa

kunyonya ni ibada kwa sababuuu, mungu ametuletea tiba na ili kumtukuza tunatakiwa kuitumia tiba aliyotupa ili tusipate huo ugonjwa! please sitaki maswali Eiyer
 
Last edited by a moderator:
kunyonya ni ibada kwa sababuuu, mungu ametuletea tiba na ili kumtukuza tunatakiwa kuitumia tiba aliyotupa ili tusipate huo ugonjwa! please sitaki maswali Eiyer

Nikikuambia kutembea ni kulala utakubali?
Kama hautakubali ni kwanini?

Aisee kama hutaki maswali utapata shida sana na mimi!
 
Nikikuambia kutembea ni kulala utakubali?
Kama hautakubali ni kwanini?

Aisee kama hutaki maswali utapata shida sana na mimi!

ukiniambia maana ya kulala kama inafanana na maana ya kutembea hapo nitakubali
 
ukiniambia maana ya kulala kama inafanana na maana ya kutembea hapo nitakubali

Hapo juu nimesema maana ya ibada na haifanani na kunyonya na umekuja na kuendelea kusema kunyonya ni ibada

Nini kitakufanya ukubaliane na nitakachokisema kuhusiana na kutembea na kulala?
 
Hapo juu nimesema maana ya ibada na haifanani na kunyonya na umekuja na kuendelea kusema kunyonya ni ibada

Nini kitakufanya ukubaliane na nitakachokisema kuhusiana na kutembea na kulala?

Eiyer mimi ndio nimeelewa hivyo kama wewe umeelewa tofauti basi kila mtu abaki na maana yake ya ibada anayoijua! na siji tena kanisani kwako lol
 
Last edited by a moderator:
Eiyer mimi ndio nimeelewa hivyo kama wewe umeelewa tofauti basi kila mtu abaki na maana yake ya ibada anayoijua! na siji tena kanisani kwako lol

Umeelewa "hivyo" nini?

Kanisani kwangu utakuja tu
Si unajua kinachokuleta?
 
nimeelewa hivyo hivyo! nilivyoelewa,,
Nataka kujua ulichoelewa "hivyo" na hiyo hivyo niijue pia
kinachonileta kipi?
Umesema kuwa "siji tena kanisani kwako"
Hii inamaana kuwa ulikuwa unakuja

Lakini pia ulikuwa huji bila sababu,kuna sababu
Yaani kuna kilichokuwa kinakuleta

Sasa unaponiuliza tena mimi kilichokuwa kinakuleta unakuwa hunitendei haki kabisa!
 

uuwiiiii we mwanaume unaniumiza kichwa, mkeo ana kazi aisee
 
uuwiiiii we mwanaume unaniumiza kichwa, mkeo ana kazi aisee
Hivi ku assume ni kawaida ya wanawake?
Kwanini una assume kuwa mke wangu atapata shida?

Halafu unasahau kuwa hata hiyo shida ina tafsiri tofauti tofauti
Mfano:Hapa unaona maswali ni tabu wakati mwingine ndio anaota kuplewa na mimi ili afaidi maswali kwakuwa anayapenda

Kibaya kwako ni kizuri kwa mwingine

By the way,Sijaoa,nataka nije kwenu kutoa mahari
Will you marry me?
 

uuwiiii ntakubali kama tukikubaliana hutaniulizauliza maswali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…