Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 758
Ni waislam, hupenda kuvaa kanzu na vibalagashia muda wote-Wabishi,wavivu,wasengenyaji n.k
In short wamepungua siku hizi na sio wengi kama zamani.
Currently mtu akikwambia wewe ni mwinyi/unapenda umwinyi basi jua anamaanisha unapenda ubwana, uvivu au kutuma-tuma wenzako bila sababu kuu(tabia halisi za mamwinyi)
*I didn't mean to tarnish anybody's belief...mnisamehe but huo ni ukweli!!
In short wamepungua siku hizi na sio wengi kama zamani.
Currently mtu akikwambia wewe ni mwinyi/unapenda umwinyi basi jua anamaanisha unapenda ubwana, uvivu au kutuma-tuma wenzako bila sababu kuu(tabia halisi za mamwinyi)
*I didn't mean to tarnish anybody's belief...mnisamehe but huo ni ukweli!!