wale wote wanaotaka kumpa Rais nguvu ya ku control swala hili la katiba wameweka SIASA mbele badala ya maslahi ya nchi kwani Urais ni moja kati ya taasisi ambayo mamlaka yake yanajadiliwa na swala zima la katiba kwahiyo mhusika hawezi kupewa control ya mjadala unaojadili mamlaka yake yanayomuhusu. hii ni sawa na Rais kuongoza kikao kinachojadili mshahara wake haiwezekani na hapa kitachojadiliwa ni hoja ya mamlaka ya Rais kwahiyo kama Rais hawezi kutoa muongozo wa namna ya kujadili mamlaka yake?? wananchi pekee yao ndio inabidi wapewe mamlaka ya kuamua nchi iongozwe vipi bila kuingiliwa na mtu yeyote au taasisi yeyote. tusipoangalia swala hili la katiba litatuingiza matatizoni kwa sababu ya viongozi wachache wanaojaribu kulinda maslahi yao ya kisiasa badala ya kuweka maslahi ya taifa na wana harakati tuwe tayari kupambana ili kuakikisha wanasiasa hawa maslahi hawaaribu zoezi hili zima.
dalili mbaya zimeanza kusikika kwa waziri wa katiba Kombani akiiambia kamati ya bunge kuwa imwamini tu RAIS kuwa na mamlaka yote kuhusu swala la katiba kwani ameaminiwa na wananchi walio wengi that is boo shit, my questions to kombani are what about trusting wananchi to decide their own fate ?? do you think Mr.president cares much about wananchi's interest than themselves ?? itafikia mahala watanzania itabidi tufuate njia waliopita ndugu zetu wa Kenya kama kweli tunataka katiba mpya ya ukweli nchi hii.
dalili mbaya zimeanza kusikika kwa waziri wa katiba Kombani akiiambia kamati ya bunge kuwa imwamini tu RAIS kuwa na mamlaka yote kuhusu swala la katiba kwani ameaminiwa na wananchi walio wengi that is boo shit, my questions to kombani are what about trusting wananchi to decide their own fate ?? do you think Mr.president cares much about wananchi's interest than themselves ?? itafikia mahala watanzania itabidi tufuate njia waliopita ndugu zetu wa Kenya kama kweli tunataka katiba mpya ya ukweli nchi hii.