Sebuleni pangu nina ving'amuzi vi 3 mpaka sasa,StarTimes,Ting,Dstv na sasa nasikia kuna Zuki oops Zuku ,pia nasubiria cha Mengi na Diallo kwa hili hii ni kero(inabidi niongeze stuli za kuwekea hivyo vinavyong'amua) ,hivi kwanini tusitumie tu Smart card kwa king'amuzi chochote kama vile tunavyofanya kwenye simu?embu watu wa Tekohama mtuambia kama hilo linawezekana au haliwezekani na ni kwanini inawezekana au haiwezekani