Huko si ndio wana mashamba? Heri inyeshe tu
eWanasemaje wakazi wasitoke nje wataloa?
Labda wanamaanisha jua kali..Tangu lini wameanza kuaminika hao TMA??Mamlaka ya Hali ya hewa yazidi kutoa tahadhari ya mvua kubwa; tarehe 13, 14, na 15. (ni mikoa ya Arusha, Mara, Mwanza na Kagera)
.. GHARIKA YAJA: Mvua kali kuathiri Arusha, Kili, Kagera, Mara, Kigoma, Tabora kati ya leo na J-pili, TMAA waonya jioni hii. Wasema yawezaleta uharibifu makubwa.
mamlaka ya hali ya hewa yazidi kutoa tahadhari ya mvua kubwa; tarehe 13, 14, na 15. (ni mikoa ya arusha, mara, mwanza na kagera)
.. Gharika yaja: Mvua kali kuathiri arusha, kili, kagera, mara, kigoma, tabora kati ya leo na j-pili, tmaa waonya jioni hii. Wasema yawezaleta uharibifu makubwa.
Mamlaka ya Hali ya hewa yazidi kutoa tahadhari ya mvua kubwa; tarehe 13, 14, na 15. (ni mikoa ya Arusha, Mara, Mwanza na Kagera)
.. GHARIKA YAJA: Mvua kali kuathiri Arusha, Kili, Kagera, Mara, Kigoma, Tabora kati ya leo na J-pili, TMAA waonya jioni hii. Wasema yawezaleta uharibifu makubwa.
Ngoja inyeshe picha zijee
Nilidhani ungedai picha umekuja kivyengine le
...then after!source plz
...then after!source plz
source plz