kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,667
Mamlaka ya Hali ya hewa yazidi kutoa tahadhari ya mvua kubwa; tarehe 13, 14, na 15. (ni mikoa ya Arusha, Mara, Mwanza na Kagera)
.. GHARIKA YAJA: Mvua kali kuathiri Arusha, Kili, Kagera, Mara, Kigoma, Tabora kati ya leo na J-pili, TMAA waonya jioni hii. Wasema yawezaleta uharibifu makubwa.
.. GHARIKA YAJA: Mvua kali kuathiri Arusha, Kili, Kagera, Mara, Kigoma, Tabora kati ya leo na J-pili, TMAA waonya jioni hii. Wasema yawezaleta uharibifu makubwa.