Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,463
- 9,674
Kuna watu hufanya kilimo na shughuli nyingine kwa kufuata utabiri wa TMA. Hii ni mamlaka yenye majukumu ya kutueleza nini kinatarajiwa kutokea baada ya muda Fulani. Sasa naombeni popote mtakapowasikia hasa ndugu zangu mnaoangalia taarifa ya habari hadi mwisho,mtupatie updates ili tujue mwavuli unahusika au la kwa siku husika