Kwa kuongoza majimbo saba madiwani Jiji la DSM litapata Meya wa Upinzani kwa mara ya kwanza, ningekuwepo ningependekeza Diwani wa Ubungo Mh. Boniface Jacob awanie kiti hicho
http://www.mwananchi.co.tz/uchaguzi...laam/-/2927048/2934230/-/uvautkz/-/index.htmlMtu mwenye data za udiwani atupe matokeo hayo ya kila jimbo.
Mtu mwenye data za udiwani atupe matokeo hayo ya kila jimbo.
manji akipata tumekwisha, hapo tu ashawauzia matera ya kuzoa taka taka feki, angalau, fedha za ddc na uda zinarudi, safari za kuanzia fery to kariakoo zitarudi.Nasikia Manji ananyemelea nafasi ya Umeya